Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi akizungumza na Balozi wa Uingereza hapa nchini Bi. Dianna Melrose wakati balozi huyo alipomtembelea Mheshimiwa Lukuvi ofisini kwake kujadiliana masuala mbalimbali yanayohusu uendelezaji wa uendelezaji wa sekta ya ardhi nchini Tanzania.
Picha/ Nanyaro,Clarence - Wizara ya Ardhi.
No comments:
Post a Comment