Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia jambo na ujumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) baada ya kumalizika kwa awamu ya pili ya mazungumzo nao Ikulu Ndogo mjini Dodoma jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) baada ya kumalizika kwa awamu ya pili ya mazungumzo nao Ikulu Ndogo mjini Dodoma jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) baada ya kumalizika kwa awamu ya pili ya mazungumzo nao Ikulu Ndogo mjini Dodoma jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) baada ya kumalizika kwa awamu ya pili ya mazungumzo nao Ikulu Ndogo mjini Dodoma jana. Picha na IKULU